Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Namuonya kabisaaah awemakini tu [emoji23][emoji23][emoji23] asije akapata shoga kabisa ikawa balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Namuonya kabisaaah awemakini tu [emoji23][emoji23][emoji23] asije akapata shoga kabisa ikawa balaa.
[emoji23][emoji23][emoji23] leo umekutana na mwanachama sasa baada ya muda mwingi.Usipoangalia kwa jina na mwandiko tu keshakupigia kimoja. Upweke kweli sio mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah ww sindio katibu wa chama ww.Mkuu nenda kona bar otherwise huyo unayeongea nae ndio katibu mwenezi wa chaputa atakupa mbinu mbadala [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji4] karibu tena
we ni member since 2016 unasemaje kuwa ww ni mgeni?Nyie basi Inaonesha mnapita pita sana Humu na experience mnazo nawalakini nanyie..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee mbona hnakana majukumu yako tenaDah ww sindio katibu wa chama ww.
Inawezekana ana kadi zile za mwanzo mwanzo.we ni member since 2016 unasemaje kuwa ww ni mgeni?
Mwana hapo kaja na new techniques inabidi hiyo itolewe mafunzo eti katibu unasemaje kuhusu hilo [emoji38]
we ni member since 2016 unasemaje kuwa ww ni mgeni?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwambie kuna kichwa huku cha faster[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona yupo busy na campaign huko haliko juhudi zenu mwenyekiti na katibu zinaonekana..
Vp nijoto limekuamsha? Sema kama vp tupige maombi mvua inyeshe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yuko wapi huyo juma lokole.Sijasema mm Mgeni bana ugeni wangu Kwenye chaputa tu na avatar Huwa sizielewi Maana unakuta mtu anaitwa cocastic alafu ni men
Anachamba Huyo balaa yaaane
Mwingine Sijui Nanani Nani alafu men avatar girl name the some
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena ana wenge kinoma. Mpe kile kitabu cha dos and don'tsMwana hapo kaja na new techniques inabidi hiyo itolewe mafunzo eti katibu unasemaje kuhusu hilo [emoji38]