Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Tulia sasaSasa hapo ndio unazingua. Ina maana huna connection town hapo? Una fail sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
niko kwenye mchakato.Tulia sasaSasa hapo ndio unazingua. Ina maana huna connection town hapo? Una fail sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
niko kwenye mchakato.Labda jamaa anataka uweke na picha ya uthibitisho kabisa maana huaminiki eti



Labda jamaa anataka uweke na picha ya uthibitisho kabisa maana huaminiki eti
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mambo ya michakato ndio yalipigwa marufuku. Inaweza chukua karne mchakato haujakamili. Ila na wewe nakuvizia tu uingie kwenye anga zangu nikupe kubwa.Tulia sasaniko kwenye mchakato.
Huyu jamaa ana kipaji, wewe hukumbuki hata kwenye The Gladiator alivyofanya. Ilifika wakati nikasema anaweza mfunika Joker Heath Ledger![]()




mwazoni unajua watu waliipinga sana joker sasa juzi nashanga natuzo wameipa wao wenyewe.Hahaha ila mimi Scar ndiyo namkubali kuliko characters woteupuuzi wa Pumbaa na Timon ni wahali ya juu ndio wanaonifanya nipende Lion King.




Humu JF kuna watu wana majina ya kiume lakini wao ni wanawake na kuna wanaume lakini wao wanatumia majina ya kike kwahiyo hawe makini tu.Labda jamaa anataka uweke na picha ya uthibitisho kabisa maana huaminiki eti
Sent using Jamii Forums mobile app
Joker is creepy.mwazoni unajua watu waliipinga sana joker sasa juzi nashanga natuzo wameipa wao wenyewe.





Hayo mambo ya michakato ndio yalipigwa marufuku. Inaweza chukua karne mchakato haujakamili. Ila na wewe nakuvizia tu uingie kwenye anga zangu nikupe kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app

mm sio serikali ww.Humu JF kuna watu wana majina ya kiume lakini wao ni wanawake na kuna wanaume lakini wao wanatumia majina ya kike kwahiyo hawe makini tu.


kwa hiyo umeamua kumuonya kabisa asije akaingia kichwa kichwa.

Humu JF kuna watu wana majina ya kiume lakini wao ni wanawake na kuna wanaume lakini wao wanatumia majina ya kike kwahiyo hawe makini tu.
Na siku ukitaka dodo ndio utajuta kwa nini unanifanyia michakato isiyo na maslahi.mm sio serikali ww.
Kwa hiyo mzee ulitaka kuanza kurusha ndoano halafu akinasa ule kimasihara?Haha sasa Kama Jina Lako linaukakasi Unaweza juwa Manzi flan kisu wakishua
Sorry Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka uhakika ni kukutana nae otherwise amini kuwa kila aliye hapa ni konokono.
Kwa hiyo mzee ulitaka kuanza kurusha ndoano halafu akinasa ule kimasihara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu mkuu tujumuikeWalinzi wa leo mpo makini sana.
Big up kwenu.
Mjinga yule anaweze kusumbuliwa na hyena.Hahaha ila mimi Scar ndiyo namkubali kuliko characters wote![]()