VIPUnakaa v.i.p au

mm mtt wa uswailini napenda vile vigoma na huku nikiangalia mpila ndio nainjoy lakini mm ni msimbazi sio utoporo ww wapi mwenzangu?Mbona inaload yenyewe tu simple.
Joaquin katisha sana aisee.Joker kweli ni DC to![]()
Unasiri gani wwM nalala zangu bwana maana sijielew nisijetoa siri zangu bure

kwenye hii nchi au ndio umeshazidiwa 



Generate solution faster
Tulia mm mwenye natamani nione hayo maajabu ujue maana naona unamzuka nayo kinoma.
Joaquin katisha sana aisee.


sana vile vicho alivyokuwa anatoa mule mm ndio alikuwa ananiafikirisha sana ujue najiuriza wakati wanashot alikuwa anachekeshwa na nn?
Tulia mm mwenye natamani nione hayo maajabu ujue maana naona unamzuka nayo kinoma.
Sasa hapo ndio unazingua. Ina maana huna connection town hapo? Una fail sana.Tulia mm mwenye natamani nione hayo maajabu ujue maana naona unamzuka nayo kinoma.
Huyu jamaa ana kipaji, wewe hukumbuki hata kwenye The Gladiator alivyofanya. Ilifika wakati nikasema anaweza mfunika Joker Heath Ledgersana vile vicho alivyokuwa anatoa mule mm ndio alikuwa ananiafikirisha sana ujue najiuriza wakati wanashot alikuwa anachekeshwa na nn?






Huyu ndiyo wa ukweli sasa
![]()



upuuzi wa Pumbaa na Timon ni wahali ya juu ndio wanaonifanya nipende Lion King.Men
