Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836
Usianze kunitia machungu kesho uje wakati tunaenda taifaHaya lakini ujanijibu ujue kuhusu yale maji ya yanga![]()
Usianze kunitia machungu kesho uje wakati tunaenda taifaHaya lakini ujanijibu ujue kuhusu yale maji ya yanga![]()
Basi tukutane taifa na maji ya yanga mm nitakuepo pale kuanzia saa 9 mchana.Usianze kunitia machungu kesho uje wakati tunaenda taifa
Saaa9 utaka kuaishia nje nn ww mm naenda saa4 nabeba na msosi kabisaBasi tukutane taifa na maji ya yanga mm nitakuepo pale kuanzia saa 9 mchana.



usinichanganyena ww unataka ule kimasihara mzee.
Movie zako hizi Goddess.
Hiyo tarehe 4 Jan mm nilienda saa 8 na siti nilipata uwanjani.Saaa9 utaka kuaishia nje nn ww mm naenda saa4 nabeba na msosi kabisausinichanganye



ogopa vitu ambavyo unapata kirahisi rahisi tu.Hapa penyewe sasa

Zinanivuruga tu sijawahi elewa mm saiz sijui iko ya 7 au 8 ni series sasa dark vendor anawasumbua tu.Mimeiangalia mida hio cover nomeshindwa elewa ya mwaka gani hii
Haha mm nafatiliaga animezake wao nmewakaushiaZinanivuruga tu sijawahi elewa mm saiz sijui iko ya 7 au 8 ni series sasa dark vendor anawasumbua tu.
ogopa vitu ambavyo unapata kirahisi rahisi tu.
Sema hizi pin zake ni za enzi zile dunia nyeusi ndo maana hata cover sijaielewaZinanivuruga tu sijawahi elewa mm saiz sijui iko ya 7 au 8 ni series sasa dark vendor anawasumbua tu.