JamiiForums Usiku wa manane
SAA 02:20 usiku.

Ngoja niwajulishe shida niliyopata Leo...

Leo nikiwa safarini nilipata tyre busting mara mbili, haikua kazi rahisi but sikupata ajali. Nikiwa nakaribia Bariadi kijiji cha mwisho nikapata "Basta" ya kwanza, ikanibidi kwenda kwa bodaboda hadi bariadi mjini kununua mpira mpya, baada ya kufunga na kuanza safari, dakika chache kama 40 minutes later mpira mwingine ukabasti na kuchanika vibaya, gari iliyumba lakini niliweza kui-control. Ikabidi tena kununua mpira mwingine tena.

Namshukuru Mungu nimefika salama usiku huu. Nawatakia mkesha mwema.

Ngoja nipumzike. View attachment 1355827View attachment 1355828

Kitochi Original
Duuuh pole sana aisee, tunashukuru umefika salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SAA 02:20 usiku.

Ngoja niwajulishe shida niliyopata Leo...

Leo nikiwa safarini nilipata tyre busting mara mbili, haikua kazi rahisi but sikupata ajali. Nikiwa nakaribia Bariadi kijiji cha mwisho nikapata "Basta" ya kwanza, ikanibidi kwenda kwa bodaboda hadi bariadi mjini kununua mpira mpya, baada ya kufunga na kuanza safari, dakika chache kama 40 minutes later mpira mwingine ukabasti na kuchanika vibaya, gari iliyumba lakini niliweza kui-control. Ikabidi tena kununua mpira mwingine tena.

Namshukuru Mungu nimefika salama usiku huu. Nawatakia mkesha mwema.

Ngoja nipumzike. View attachment 1355827View attachment 1355828

Kitochi Original
Pole kwa majanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjumbe umetisha sana
Screenshot_20200213-071615.jpeg
Screenshot_20200213-071637.jpeg


ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ
 
Pôle Sana hakika Mungu ni mwema
SAA 02:20 usiku.

Ngoja niwajulishe shida niliyopata Leo...

Leo nikiwa safarini nilipata tyre busting mara mbili, haikua kazi rahisi but sikupata ajali. Nikiwa nakaribia Bariadi kijiji cha mwisho nikapata "Basta" ya kwanza, ikanibidi kwenda kwa bodaboda hadi bariadi mjini kununua mpira mpya, baada ya kufunga na kuanza safari, dakika chache kama 40 minutes later mpira mwingine ukabasti na kuchanika vibaya, gari iliyumba lakini niliweza kui-control. Ikabidi tena kununua mpira mwingine tena.

Namshukuru Mungu nimefika salama usiku huu. Nawatakia mkesha mwema.

Ngoja nipumzike. View attachment 1355827View attachment 1355828

Kitochi Original

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom