Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,251
- 90,445
Una kamba mguuni? Na hiki kimvua njoo huku kibandaniMgeni mini nikaribisheni.
Una kamba mguuni? Na hiki kimvua njoo huku kibandaniMgeni mini nikaribisheni.
Poa poa najua funguo za geti unazo utakuwepo mpaka mwisho.Tuko pamoja Lindoni
He's He.. mkuuNimekumiss![]()
Karibu sana Brayo...![]()
Nivenye hatujaonana for long
![]()
![]()
![]()
Mmmh,Uko aje lakini?Nani mwenzangu ?
Wewe ke ?
Ahsante sanaKaribu sana Brayo...
Bado Bbade ako around?Sijui..Ahsante sanaBado Bbade ako around?
Ooooh sawaSijui..
Anapitaga limoja kwa miezi

Zawadi zipo.Mbona hauna hata zawadi mkononi uko mikono mitupu?
Una kamba mguuni? Na hiki kimvua njoo huku kibandani
Kiko imara kibanda cha mlinzi mwandamiziKibanda kitavunjika.
Nimekuja na mamizigo mazito
Usiwaze , mchawi mvuaPoa poa najua funguo za geti unazo utakuwepo mpaka mwisho.
Unaogopa,njoo ujifiche huku kibandani