JamiiForums Usiku wa manane
SAA 02:20 usiku.

Ngoja niwajulishe shida niliyopata Leo...

Leo nikiwa safarini nilipata tyre busting mara mbili, haikua kazi rahisi but sikupata ajali. Nikiwa nakaribia Bariadi kijiji cha mwisho nikapata "Basta" ya kwanza, ikanibidi kwenda kwa bodaboda hadi bariadi mjini kununua mpira mpya, baada ya kufunga na kuanza safari, dakika chache kama 40 minutes later mpira mwingine ukabasti na kuchanika vibaya, gari iliyumba lakini niliweza kui-control. Ikabidi tena kununua mpira mwingine tena.

Namshukuru Mungu nimefika salama usiku huu. Nawatakia mkesha mwema.

Ngoja nipumzike.
IMG_20200212_112150_637.jpeg
IMG_20200212_181832_441.jpeg


Kitochi Original
 
Back
Top Bottom