JamiiForums Usiku wa manane
Yes, there's nothing good with wars.
We have to choose to be at peace.
Huwa sipendi sana kuangalia taarifa ya habari lakini huwa nikiwa o'level nilikuwa napenda sana kwenda kwa rafiki yangu ambaye alikuwa hakai mbali sana na nyumbani.

Basi kila siku nilikuwa nikienda namkuta mzee wake anaangalia BBC au Algezira basi nilikuwa naona waandishi wakiripot hizo taarifa wakiwa vitani acha tu yaan camera man anachukua huku ardhi inatetemeka tu mabomu hayo vita acha kabisa tusikieni tu.
 
Hatari sana Mkuu
Huwa sipendi sana kuangalia taarifa ya habari lakini huwa nikiwa o'level nilikuwa napenda sana kwenda kwa rafiki yangu ambaye alikuwa hakai mbali sana na nyumbani.

Basi kila siku nilikuwa nikienda namkuta mzee wake anaangalia BBC au Algezira basi nilikuwa naona waandishi wakiripot hizo taarifa wakiwa vitani acha tu yaan camera man anachukua huku ardhi inatetemeka tu mabomu hayo vita acha kabisa tusikieni tu.
 
Back
Top Bottom