Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,559
Photoshop..Usiku wa manane ..... ila kuna mabaharia wanatamani wao ndio wawe hiyo Serengeti lite View attachment 1342655
Sent using Jamii Forums mobile app
Photoshop..Usiku wa manane ..... ila kuna mabaharia wanatamani wao ndio wawe hiyo Serengeti lite View attachment 1342655
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo gani unatakiwa kujaza ili upate nambaUnaweza pata kwenye website yao ila network itakuwa inazingua au jaribu app .
Sent using Jamii Forums mobile app
Usishuke mkuu uendelee kushuhudia vitu vingi vya kuja kuwaadithia wajukuu zakoDunia ikisimama nitashuka kwakweli kha!
Watu wa Mungu naomba mnisaidie taratibu za kuangalia namba ya NIDA mtandaoni. Kuna mtu wamemfungia laini ila namba yake ndio haijatoka.. Je nifanyaje ili kuipata Online? Msaada wenu please
Sio Photoshop, mm Photoshop najua itumia vzr sana.Photoshop..
Usishuke mkuu uendelee kushuhudia vitu vingi vya kuja kuwaadithia wajukuu zako
Sent using Jamii Forums mobile app

loh kama ndio mambo hv watu wanasnap hadharani hv huko tunapoelekea sijui itakuwaje..Mambo gani unatakiwa kujaza ili upate namba
Mtu yupo vijijini huko hata sijui details zake vizuri sijui ata Napata vipi details zake. LohJina la mama la kwanza na mwisho pia ujue tarehe mm waliniuliza hivyo inategemea lkn jua info zote za muhimu .
Sent using Jamii Forums mobile app
So Do I..Sio Photoshop, mm Photoshop najua itumia vzr sana.
AiseUsiku wa lindo ulikua hivi,na chibonge wangu pembeni View attachment 1341718



Poa poa..
Kaa humo mwamba..
Sema acha tu tukianza ichambua itakuwa ni noma kweli lakini ukitaka nikue evidence moja wapo tu angalia tenaSo Do I..
kuna mtu nyuma anaichungulia hiyo chupa kwachini loh tuishie hapo tu kwanza mzee wangu.Mtu yupo vijijini huko hata sijui details zake vizuri sijui ata Napata vipi details zake. Loh
wapi saiz kulala au ndio umeamka?Aise
Sent using OPPO Mobile Phone
Ziko mbali.. ila ngoja tuone tutafanikisha vipi hili..Shida hapo aisee na ndo laini imefungiwa ?
Akienda ofisi za nida je au zipo mbali ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naenda American Chips Kinondoni naona America kumegoma.....nakuja
Sent using Jamii Forums mobile app


kumbe ni mwanaume wa kino.Ziko mbali.. ila ngoja tuone tutafanikisha vipi hili..
Sina maana hiiokumbe ni mwanaume wa kino.