Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,729
Babu kumbe huwa unachukua vitu vizito!Usiku wa lindo ulikua hivi,na chibonge wangu pembeni View attachment 1341718
Babu kumbe huwa unachukua vitu vizito!Usiku wa lindo ulikua hivi,na chibonge wangu pembeni View attachment 1341718
Usiku wa lindo ulikua hivi,na chibonge wangu pembeni View attachment 1341718
hili shangingi lipo poa sanaUsiku wa lindo ulikua hivi,na chibonge wangu pembeni View attachment 1341718
Nilimuuliza location kwa lingala ya congoLocation wapii mkuu
Ngoja nisubiri nikue tu
Sema kweli akiiAkii wewe uko na mambo mob saaanaa
Sitaki kuamini umepita kimya bila uchambuzi mkuu.. shusha vituChibonge mama, chibonge mtu m’bad.
Kweli akiiSema kweli akii
AyayayayayayayayaaaaaaaaKweli akii
Watu wa Mungu naomba mnisaidie taratibu za kuangalia namba ya NIDA mtandaoni. Kuna mtu wamemfungia laini ila namba yake ndio haijatoka.. Je nifanyaje ili kuipata Online? Msaada wenu please
Usitamani chombo ya mwenzio, hahahaha
Haswaa,mjukuu wanguBabu kumbe huwa unachukua vitu vizito!
Usiku wa manane ..... ila kuna mabaharia wanatamani wao ndio wawe hiyo Serengeti lite View attachment 1342655
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu baharia hafahamiki alipo.. Nadhani atakua west Africa huko. Kama sio kwa MobutuNilimuuliza location kwa lingala ya congo
Upo wapi? au hapo wapi? ="Eza wapi?"
Akajibu kwa kuniita
Eeh mdogo wangu njoo Sinza uje unywe bia = "Eeh Petit wangu, kuya fasi ya sinza ,ukunye biere "
Nikamuuliza Nitapata hapo mrembo mmoja wa kunywa nae bia = "Sasa papaa nitapata mwasi kitoko moya hapo ya kula nayo biere? "
Note:
Mwasi kitoko = mwanamke mrembo
Eza wapi = Upo wapi
Petit = mdogo