Pamoja sana broIkurudie nawe mlinzi..
Pamoja kiongoziPamoja sana bro
True bro thou early years of my life nilikuwa village ingawa sikuwa katika umri wa kujitambua tuHongera sana kiongozi. Itakua mlikua mjini.
2016 ndio walileta TV home
Shukrani boss.. karibu lindoHeshima kwenu walinzi
Alafu nilishawahi kumuona huyo kijana.Yaani ww huvuki 98.. kama sio 99
Anakuonea sana aiseBro unanichumia dhambi, ningekuwa muharibifu saa hii list ya maex ningejaza mwendokasi express mbili na bajaj tatu [emoji23][emoji23]..
it was 5 years mkuu
Shule ndio ilinitoa vijijini asee.. sijui ingekua vipiTrue bro thou early years of my life nilikuwa village ingawa sikuwa katika umri wa kujitambua tu
Ulimuona wapi wewe 😂😂Alafu nilishawahi kumuona huyo kijana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwendokasi express na bajaji 2Bro unanichumia dhambi, ningekuwa muharibifu saa hii list ya maex ningejaza mwendokasi express mbili na bajaj tatu [emoji23][emoji23]..
it was 5 years mkuu
Anapata faida ganiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwendokasi express na bajaji 2
Kuna muhimu kwa miezi 6 tu amelala na wanawake 30,000.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mm nishakuambia najua Age yako ikifika May Day mungu akijalia uzima nitakuwishi kwa Age yako sahii na kamili.Nitumie PM ukiambatanisha na kitambulisho chako cha nida [emoji4][emoji4]
Usitake kumshtua kijana vinci [emoji23][emoji23][emoji23].Alafu nilishawahi kumuona huyo kijana.
Umefeli hujui kuotea yaan mara mbili bado upo nje ww sio mbetiji kabisa [emoji23][emoji23]94. Umezaliwa...
Gud tu dude.Heshima kwenu walinzi
Ahsante kwa utetezi bro.. ntakupa offer ya vant tukikutana counter ya juu [emoji4][emoji4]Anakuonea sana aise
Sent using OPPO Mobile Phone
Mcheza kamali maarufu wa kubet nakosaje kujua Age za watu [emoji23][emoji23]Hahahaaa ila ngoja nisubiri nione.
Villain yuko poa kwenye kuotea
Kubahatisha sio vazi langu aseeUmefeli hujui kuotea yaan mara mbili bado upo nje ww sio mbetiji kabisa [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mm nishakuambia najua Age yako ikifika May Day mungu akijalia uzima nitakuwishi kwa Age yako sahii na kamili.
Tumia kujiingizia kipato sasa uwezo huoMcheza kamali maarufu wa kubet nakosaje kujua Age za watu [emoji23][emoji23]