simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Hiyo ni kweli mkuu. Lindo jema kakaItafikia kipindi hizo avatars zitapotea na watashika nafasi wengine na wengine hivyo hivyo mwendelezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni kweli mkuu. Lindo jema kakaItafikia kipindi hizo avatars zitapotea na watashika nafasi wengine na wengine hivyo hivyo mwendelezo
Baadae mtanashatiNawaaga ndugu zangu, detail yangu itaanza 0300am. Nawatakia Lindo Jema and I hope to receive a handing over report with neither loss nor damage occurred.![]()
I know bado kuna kundi moja nahisi ni mwanaume mmoja na wanawake wa2 nyimbo zao zinatumikaga sana xmass nalitafutaABBA ni kikundi cha watu wa 4, couple 2
"Take a chance on me" knowing me/knowing uS.o.s, mama mia, take a chance,super trouper, money money, i have a dream na dancing queen ndo zinanibamba sana
2017 model😀😀😀igweeee....mi siyo soja mkuu ila hiki ni kijiwe changu bora kabisa kabla ya kulala.....God has done much....ndiyo maana ya jina hilo kwa Igbo language mkuuKwa hiyo wewe soja maana hilo jina lako limekaa kiwest. Kule kwa wapaa angani bila engine
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hawa pentanoix kama skosei sjui ndo hao?I know bado kuna kundi moja nahisi ni mwanaume mmoja na wanawake wa2 nyimbo zao zinatumikaga sana xmass nalitafuta
Nategemea kukukuta mrembo. Bye 👋Baadae mtanashati
Nazo ziko bomba pia,S.o.s, mama mia, take a chance,super trouper, money money, i have a dream na dancing queen ndo zinanibamba sana
Kwani ulisemaje0108
Sent using my Audi A62017 model
Hapana pentatonix si kundi la juzi tu na wapo wa4 sikuhizi hawanivutii kama zamani sijui wamekuja kuaje na kuabdili members pia kuna fanya mvuro wa group upungueKuna hawa pentanoix kama skosei sjui ndo hao?
Salama?Hapana pentatonix si kundi la juzi tu na wapo wa4 sikuhizi hawanivutii kama zamani sijui wamekuja kuaje na kuabdili members pia kuna fanya mvuro wa group upungue
Umofia bradhaUmofia kwenu!!
Amani, siku imeendaje huko?Umofia bradha
Unaskiliza wap au tuangalie aljazeeraWakuu pia kuna mjadala mkali sana bunge la USA wanadebate Trump impeachment,unaweza kuwa unasikiliza nahuko maana kumenoga

Swalama kabisaa sjui ulipoAmani, siku imeendaje huko?
YeahUmofia kwenu!!