Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Mile mzima kabisa.Hatujambo hofu kwako tu
Mile mzima kabisa.Hatujambo hofu kwako tu
Wakoraa..!!
Inna alikimbia jana usiku hakutaka kunipa mualiko wa iddDaah kimya kingi kamanda au pilau la iddi unamalizia
Jana na le....
Daah aisee sio poa kabisaInna alikimbia jana usiku hakutaka kunipa mualiko wa idd
Umekua mwanachama muaminifu siku hiziNdio kumekucha kumbe...hamjambo jambo huku?
Daah aisee sio poa kabisa
Cc: Inna njoo ujibu shtaka lako huku

Mkuu mjengoni
Habali mkuu nakuona ukiwakilishaMbona unaingia kwa kubashili kama kamali
Vp weekend inaendaje
Mi ndo mida yangu hii ya KUBUNDI mkubwa. Ili nchi iendelee ina hitaji mambo fulani hivi, nakumbuka la tano ni walinzi wa usiku!Mkuu mjengoni
Ha ha haaa hukujua kua kuna uwanja wako huku unapita tu mapopo tunapozana humu at tatizo hufiki ata saa nane![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Manga ML
![]()
![]()
![]()
![]()
mie popo kitambo sana lakini huku nilikuwa napita tu,sasa siku niliyobisha hodi nikaingia mpaka chumbani mpaka chooni,ndio nimekuwa mwenyeji.
Tupo mzigoni comradeDuuuh jamani hamlali?
Ha ha haaa hukujua kua kuna uwanja wako huku unapita tu mapopo tunapozana humu at tatizo hufiki ata saa nane
Anza wewe basiDuuuh jamani hamlali?
Yaani acha tu. Nakuwa nachoka kwa pilika pilika za mchana,so najitahidi kuwahi kupumzika. Huwezi amini naingiaga kitandani Saa 4ili niwahi kulala,nashtukia nafika mpaka Saa saba nazurula jfHa ha haaa hukujua kua kuna uwanja wako huku unapita tu mapopo tunapozana humu at tatizo hufiki ata saa nane
