Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Wamepotea sana leoWote chalii!
Wamepotea sana leoWote chalii!
Naingia ng'we ya pili sasa sema huyu opponent wangu anacheza rafu nyingi sana!Wacha tutazame game tu
Mi nilikuja kutafuta mialiko ya kesho kumbe wote wamekimbia.Wote chali duuuh!![]()

Pole sanaMi nilikuja kutafuta mialiko ya kesho kumbe wote wamekimbia.![]()
![]()


sasa kwa hasira waalike wotePole sana asee, endelea kuvumilia...Mi nilikuja kutafuta mialiko ya kesho kumbe wote wamekimbia.![]()
![]()
Sawa mkuu ngoja tusubiri
Comrade.....
Kweli mkuu, jamaa yule hana staha amesababisha watu wawili NAHUJA na sergio 5 wakala BAN..inahuzunisha sana, Comrade wapo waliodhani yule jamaa ni mimi aseehComrade.....
Naona umeamua kuwaachi wavamizi avatar yako...![]()
![]()
Ila poa amigo, maisha lazima yaendelee
Alibakari naona umemaliza kifungu leo utaingia mzigoni