Ronnycinchy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,120
Tukishafika tutajua.
Hahah unajua ninapoelekea sasa Ronny2010
Hahah unajua ninapoelekea sasa Ronny2010
Lindo hufungwa 0600am mkuuNapuliza kipenga cha kufunga lindo.
DuhNataka kumbatio la babe wangu tu .
Mlinzi mwenzangu endelea kulinda tu

Aisee, kweli nimeamini uzee huja na mambo mengi (sio mvi pekee).Kwahiyo nikae mkao wa kupokea kisasi?
Nakukumbusha tu kuwa huu ni mwezi Disemba hivyo badala ya kupoteza muda wako kutafuta namna ya kunilipa hilo tusi, tumia muda huo kuandaa nauli ya kukupeleka kwenu Kishumundu!![]()
Tawi la Tanzania 0600 hilo..Lindo hufungwa 0600am mkuu
Nipo kipenzi, tambua kuwa nakumiss mno!Thad upo?
Unazeeka vibaya wewe...yaani unashindwa kujiongoza utaweza kuongoza hilo gari moshi?😒😒Aisee, kweli nimeamini uzee huja na mambo mengi (sio mvi pekee).
Umeshasahau nilikwambia nimepata tenda ya kuwa mwongoza gari moshi linalokwenda Kishumundu tokea siku ya maadhimisho ya UKIMWI duniani?
Tsh. 16,000/= yako tu Kishumundu hii hapa. (Mkuu wa Giningi anastahili pongezi).
Baridi limezidi wacha watu walime na wapande ili mwakani wavune😉💃🏻Leo mpo off?
Uhali ganiBaridi limezidi wacha watu walime na wapande ili mwakani wavune![]()
Uje tupande shamba tayarBaridi limezidi wacha watu walime na wapande ili mwakani wavune![]()