Thad upo?Kwahiyo nikae mkao wa kupokea kisasi?
Nakukumbusha tu kuwa huu ni mwezi Disemba hivyo badala ya kupoteza muda wako kutafuta namna ya kunilipa hilo tusi, tumia muda huo kuandaa nauli ya kukupeleka kwenu Kishumundu!![]()
Mida hii unapika nini?Baadae kidogo, namalizia kupika.
Mida hii unapika nini?
Baadae kidogo, namalizia kupika.
Na sign in Lindoni now. How are you doing my gracious Ronny2010 ?
Wengine nawasalimu pia nikiamini mko powa na siku zenu mmezimaliza vizuri.
Safi,usichelewe basi mrembo,yaani usiniweke sana mpaka nikaboreka,si unajua uchache umesifiwa sana kuliko wingi,na uchache wangu mimi na wewe ndio uwili wenyewe. Nakusubiri mrembo.
Ilishaisha ila we wailazimisha sasa. Now umeanza siku mpya na mambo mapya: feel contented honeyAm very well, thank you.
Ingawa Siku yangu bado kuisha
Leo umekula pishi la nani?
Si kwa maneno matam kutoka kwako.
Ilishaisha ila we wailazimisha sasa. Now umeanza siku mpya na mambo mapya: feel contented honey
Ila si unajua kinywa changu ni twahara,vipi kisitoea maneno matamu,nisiseme mengi,najua unalijua hilo.
Pishi la mke mkubwa hili,ila nilivyokuwa nakula kwake,akanisihi kwa kuniambia "Niache na nafasi kwa ajili ya pishi lako mke mdogo", nasubiri pishi lako mke mdogo. Si unanijua lakini nilivyo mpole kwako ?
Walahi Zurri kaibiwa account leo.
La hasha,hakika hali wa shani huyu ni mimi kabisa.
NdiooKwahiyo siku hizi mmegoma kulinda....