mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Walinzi hawaelewi huu ni ulinzi shirikishiNaona walinzi wamelala ngoja dedenda la doria nilipeleke mitaa ya mbezi chini kule
Walinzi hawaelewi huu ni ulinzi shirikishiNaona walinzi wamelala ngoja dedenda la doria nilipeleke mitaa ya mbezi chini kule
Hahahaha, j3 wote wanarudi depo ,huu uvivu hauvumiliki kabisaWalinzi hawaelewi huu ni ulinzi shirikishi
Bado usiku wa manane?
It’s All Good
View attachment 1277758
Unaishia
Nipo poa kabisa mambo yanasemajeKijanangu mzima?
Hahahaha, si ndio uliichagua
Wangu mimiUtoto ulichagua.
Hahahaha, sasa umekua?Utoto ulichagua.
Wangu mimi
Hahahaha, sasa umekua?
Ooh, safi sana,umeivisha eeh, ndio maana huogopi kukesha usikuNishapevuka akili .
Hivi wanaokuaga lindoni kukikucha hawalali hahahaOoh, safi sana,umeivisha eeh, ndio maana huogopi kukesha usiku
Hivi wanaokuaga lindoni kukikucha hawalali hahaha
How's wewe..? Miss yaAbeee
Tunafanya kazi zngine za ki majukumuHivi wanaokuaga lindoni kukikucha hawalali hahaha
Karibu lindoniHivi wanaokuaga lindoni kukikucha hawalali hahaha
Naandikisha watakao toboa usku wa leo....