JamiiForums Usiku wa manane
Mr Billy niaje?

It’s All Good
Adjustments.JPG
 
Yeah ukichunguza utakuta mm ni member wa huu Uzi toka 2017...
Nimewahi kukosa usingizi siku mbili mfululizo. Ni siku ambazo sitozisahau, kukesha ukihesabu masaa hadi panakucha.
Sasa nyie mnaoenda kila siku sijui mnateseka kiasi gani. Pole sana ila fanya kitu hilo tatizo lipone.
Kulala ni raha Sana jamani.
 
Nimewahi kukosa usingizi siku mbili mfululizo. Ni siku ambazo sitozisahau, kukesha ukihesabu masaa hadi panakucha.
Sasa nyie mnaoenda kila siku sijui mnateseka kiasi gani. Pole sana ila fanya kitu hilo tatizo lipone.
Kulala ni raha Sana jamani.
Nilijitahid kutumia hadi mitishamba.. ila wapi. Ila sio tatizo kwangu tena
 
Back
Top Bottom