Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,796
- 48,044
[emoji23]kati ya hayo 7Usinibanie riziki...kumbuka kuwa riziki ni mafungu 7
6 ushanipa bado moja
[emoji23]kati ya hayo 7Usinibanie riziki...kumbuka kuwa riziki ni mafungu 7
Kumbe ulibadili jina? Tafadhali niambia I'd yako ya zamani jisije nikajichanganya bure🤔Ni dk 20 toka aseme anakuja pm.. hajafika. Pm ya mwisho niilipata toka kwa max wakati nabadiri jina[emoji23][emoji23]
Unadhani wahenga walikuwa wajinga kusema, "Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Idd"?Mungu hapendi hivyo
Oooh! Ngoja nifukue makaburi mwenyewe😂Hahaa nikikuambia ndio utanikataa kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23] Ushachelewa...!Woiiiiii ngoja nifunge ID fasta usione nyuzi zangu
[emoji23][emoji23][emoji23] Ushachelewa...!
Huwezi amini kumbe fikra zangu zilikuwa sahihi kabisa kwamba ni wewe.
Hebu nipe siri ya mafanikio katika kubadilisha I'd maana wewe hukai na I'd moja kwa zaidi ya mwaka[emoji6]
Yap Niko horny maximum erectionUnataka um bug???
😂😂😂Si ndo tushazidi umri mpk tumehamia timu ya wakubwa sasaMmezeeka lini wakati mwaka jana tu mlikuwa wachezaji wa Serengeti boys?
HahahahaWewe pia nimekumiss[emoji6]
Juzi kati nilikuja pande zako ila sikukuona, vipi ushahama nini?
Imalisha ulinzi mkuuJumanne imeingia
Yna1212:57am