Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,364
- 31,514
Muungwana ni vitendo, inaonekana jamaa ni mtu poa sana. Nakungoja wewe😉Thank you,he took the advice.
Muungwana ni vitendo, inaonekana jamaa ni mtu poa sana. Nakungoja wewe😉Thank you,he took the advice.
NAKUPENDA SANAUmenifanya nivimbe kichwa kwa kunambia 'unanipendaga' huu ni mwaka wangu wa 10 sijatamkiwa hilo neno
Vipi mkuu, naruhusiwa kukusabahi huko PM?Hamna kitu
Hapo asiposikia kelele za maombi ataona moshi tu.
Vipi mkuu, naruhusiwa kukusabahi huko PM?
Wanaume kuna ukweli katika hilo? Naombeni jibu ili nijilipue kwa popo mmoja hapaMwanaume ni mwanaume tuView attachment 1260039
Hapo asiposikia kelele za maombi ataona moshi tu.
Watoto wako watapata hasara
Wanaume kuna ukweli katika hilo? Naombeni jibu ili nijilipue kwa popo mmoja hapa
Muungwana ni vitendo, inaonekana jamaa ni mtu poa sana. Nakungoja wewe
Mwanaume ni mwanaume tuView attachment 1260039
NAKUPENDA SANA
Kuna ukweli ndioWanaume kuna ukweli katika hilo? Naombeni jibu ili nijilipue kwa popo mmoja hapa
Karibu sana mkuu
MkuuAiseee,mimi pia naruhusiwa kumwambia kwamba nampenda
Basi sawa ila 'shicheji na wewe tena'😟Mimi hapana mkuu, nivumilie kidogo,vyuma vitalainika
Wanaume kuna ukweli katika hilo? Naombeni jibu ili nijilipue kwa popo mmoja hapa
Yamkini na wewe pia unachezea bahati kwa kutofuata ushauri wangu 😉Si nilikwambia mimi,sasa si unaona mwenyewe mambo yanaaza kunyooka, kwa vyovyote vile usiache kuleta mrejesho wa huko PM.
Basi sawa ila 'shicheji na wewe tena'