JamiiForums Usiku wa manane
As per promise.

Amani iwe kwenu wadau.

View attachment 1161023
Alright listen up!

Halahala wale wanaoingiza hizi vocha.

Ukikuta vocha barabarani, au ukitumiwa vocha na usiyemjua, unashauriwa usiingize kwenye simu yako.

Likitokea tukio kubwa la kiuhalifu, polisi huwa wanachukua vitu vingi kama vielelezo. Vocha zilizotumika zikiwemo, hasa kama kuna uwezekano vocha hiyo ikawa connected na kesi (mfano shuhuda aliona mhalifu akiingiza vocha na kupiga simu)

Polisi wataenda kwa mtandap husika ili uwape namba ya simu iliyoingiza vocha hiyo. Namba hiyo itakuwa namba ya simu ya mshukiwa wa tukio.

Usiombe ikawa namba yako ya simu.
 
Alright listen up!

Halahala wale wanaoingiza hizi vocha.

Ukikuta vocha barabarani, au ukitumiwa vocha na usiyemjua, unashauriwa usiingize kwenye simu yako.

Likitokea tukio kubwa la kiuhalifu, polisi huwa wanachukua vitu vingi kama vielelezo. Vocha zilizotumika zikiwemo, hasa kama kuna uwezekano vocha hiyo ikawa connected na kesi (mfano shuhuda aliona mhalifu akiingiza vocha na kupiga simu)

Polisi wataenda kwa mtandap husika ili uwape namba ya simu iliyoingiza vocha hiyo. Namba hiyo itakuwa namba ya simu ya mshukiwa wa tukio.

Usiombe ikawa namba yako ya simu.
Vuta picha aliyepost hizi vocha ni jambazi.

Ameziweka hapa makusudi ili mzitumie.

Kisha anavamia nyumba ya mtu na kufanya mauaji. Akiwa hapo anaiacha vocha hiyo hapo.

Polisi wanachukua vocha kama kielelezo. Wao wanadhani kuna uwezekano jambazi aliidondosha hapo bahati mbaya kutoka mfukoni.

Wanaenda Voda na kutaka rekodi ya kujua nani alirecharge ile vocha. Wanakuta namba yako ya simu. Wanaipeleleza familia kujua kama kuna mwenye namba hiyo ya simu, au mtu wanayemfahamu. Of course not.

Hapa sasa unakuwa mshukiwa. Hujawahi kufika kwenye eneo la tukio, yet vocha uliyoingiza imekutwa hapo.

Unakuwa traced, unakamatwa. Unaanza kuisaidia polisi.

Wakati polisi wanakuqa focused kuku implicate wewe, jamaa aliyepost hizi vocha anazidi kula maisha, na ushahidi unazidi kuyeyuka. Polisi wamepotezwa maboya.

Utaweza kuwaelezea wakuelewe?
 
Back
Top Bottom