Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
Kwa kosa gani tena??Leo utalala sebuleni
Kwa kosa gani tena??Leo utalala sebuleni
Kwa kosa gani tena??
Umeamua unisogeze karibu na dada wa kazi..Haya bana..Kumbuka shetani halali..Nimeamua tu
Umesahau dada wa kazi nimemtimua jana baada ya kumuona jana anaongea na wewe huku anatabasamuUmeamua unisogeze karibu na dada wa kazi..Haya bana..Kumbuka shetani halali..
Teh teh..Umenikumbusha..Wakati natafuta dada wa kazi kuna rafiki yangu akaniambia swala la kutafuta dada wa kazi muachie wife wako bro yasije kukukuta yaliyonikuta mm..Umesahau dada wa kazi nimemtimua jana baada ya kumuona jana anaongea na wewe huku anatabasamu

Teh teh..Umenikumbusha..Wakati natafuta dada wa kazi kuna rafiki yangu akaniambia swala la kutafuta dada wa kazi muachie wife wako bro yasije kukukuta yaliyonikuta mm..
Jamaa yeye ndo alitafuta dada wa kazi kwake..Miezi miwili haikupita wife wake akamtimua..![]()
Hahaha ukija nae wa kwako lazima nimuangalie kwa jicho la tatu
Teh teh..Umenikumbusha..Wakati natafuta dada wa kazi kuna rafiki yangu akaniambia swala la kutafuta dada wa kazi muachie wife wako bro yasije kukukuta yaliyonikuta mm..
Jamaa yeye ndo alitafuta dada wa kazi kwake..Miezi miwili haikupita wife wake akamtimua..![]()
Umesahau dada wa kazi nimemtimua jana baada ya kumuona jana anaongea na wewe huku anatabasamu
HahahahaUmeamua unisogeze karibu na dada wa kazi..Haya bana..Kumbuka shetani halali..
Teh teh..Wengine uwa wanaambiwa kabisa nenda kafanye kazi zote..Sasa mke usipokaa kijanja unaweza kupinduliwaHahaha ukija nae wa kwako lazima nimuangalie kwa jicho la tatu
Haha twende tukalale maana kwa hizi kauli nimegundua utawala wangu upo hatariniTeh teh..Wengine uwa wanaambiwa kabisa nenda kafanye kazi zote..Sasa mke usipokaa kijanja unaweza kupinduliwa
Teh teh..Haya tangulia naja..Haha twende tukalale maana kwa hizi kauli nimegundua utawala wangu upo hatarini
NawatamaniHaha twende tukalale maana kwa hizi kauli nimegundua utawala wangu upo hatarini
Mpya iliopo ni kwamba @Khante na Kaboom wameenda kulala pamoja hivi sasa mmoja yuko juu ya mwenzakeHuku ni habari gani mpya
Usileft mkuu au unawahi daku?Wacha nileft tuu jamani, wenyeji hampo