Daah mwisho wa mwaka si mtaniua na njaa mwenzenuItabidi utuwekee bili za kashata, tunalipa kila mwisho wa mwaka kwenye kuvunja vibubu.
Pesa mbele, leta hela kwanzaZilete sasa
ha ha ha ha nimetuma kwa mpesa;angalia salioPesa mbele, leta hela kwanza
Meseji sijaona, nikiangalia salio nitakatwa faida inapunguaha ha ha ha nimetuma kwa mpesa;angalia salio
Meseji sijaona, nikiangalia salio nitakatwa faida inapungua
ha ha ha ha ngoja tuteseke na baridi zetu kwenye lindo;hutaki kukopeshaMeseji sijaona, nikiangalia salio nitakatwa faida inapungua
acha tabia za kimangi hazikupendezi ujue
Karibu, nina swali nilikuwa nakusubiri ufike ili niwaulize wote kwa pamoja.
Nimeshaketi
Acha hizo nunuaha ha ha ha ngoja tuteseke na baridi zetu kwenye lindo;hutaki kukopesha
Nikipima uzito nikaonekana nina kg 70, and then nikala chakula chenye kg 1, baada ya kumaliza kula nikapima nitakutwa na kg 71?




Nikipima uzito nikaonekana nina kg 70, and then nikala chakula chenye kg 1, baada ya kumaliza kula nikapima nitakutwa na kg 71?
Bei yako iko juu,na hivi soko unalimiliki mwenyewe;unaweza tuuzia moja kwa kipande cha dhahabuAcha hizo nunua
Hapana hautakuwa na kilo 71
mpaka umalize chakula cha kilo moja utakuwa umeshaanza kumengenya kingine kuanzia mdomoni hadi kufikia tumboni, kitakuwa kimebadilishwa kwenye mifumo mingine iliyo mepesi .......Nipe ufafanuzi.
mpaka umalize chakula cha kilo moja utakuwa umeshaanza kumengenya kingine kuanzia mdomoni hadi kufikia tumboni, kitakuwa kimebadilishwa kwenye mifumo mingine iliyo mepesi .......
baadhi ya mifumo inatoka mwilini kama jasho.
Bila kusahau mwili utaendelea kutumia nguvu na kuchoma baadhi ya mafuta kipindi unapokuwa unakula zile kilo zako 1....
labda tu kama utabugia chakula chote kwa mkupuo na ukajipima....ila bado unaweza usipate kilo zote...mwili haupumziki kumengenya chakula...na kukiweka kukitoa katika mifumo mingine ya hewa na jasho...
Kwa mbali sana unakaribia kunishawishi.
Labda niulize kwa namna hii:-
Maji ya lita moja (ni almost 1kg, assuming yana density ya 1), nikiyanywa kwa mkupuo then nikapima immediately nitakuwa nimeongezeka kilo 1?
Unaweza ndio kupata hizo kilo....zingatia timeframe...maana hata kupumua nako kunapunguza kilo