xtaper
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 3,319
- 4,709
Watumishi wa serikali endeleeni kuvuta shuka tuEnyi watanzania wenzangu, amkeni kumekucha jiandaeni tukalikarabati taifa letu lenye nyufa!
Watumishi wa serikali endeleeni kuvuta shuka tuEnyi watanzania wenzangu, amkeni kumekucha jiandaeni tukalikarabati taifa letu lenye nyufa!
Hata wajitume vipi hakuna nyongeza ya mishahara yaoKwanini mkuu?

Usiwapotoshe bwana, mkulu amewakumbusha ahadi yake kwao kuwa kabla ya kutoka madarakani atawaongezeaHata wajitume vipi hakuna nyongeza ya mishahara yao![]()

tupo...Humu mpooo
Huu uzi umefulia sikuhztupo...
wewe ndio kiongozi....utueleze imekuwaje, au posho hamna siku hizi labda ndio maana!!?Wadau wamekuwa watoro
Kiongozi chaliifrancisco sio mimi, huyo ndio anatakiwa atupe maelezo kwanza ye mwenyewe mtorowewe ndio kiongozi....utueleze imekuwaje, au posho hamna siku hizi labda ndio maana!!?
kumbe!!Kiongozi chaliifrancisco sio mimi, huyo ndio anatakiwa atupe maelezo kwanza ye mwenyewe mtoro
Ndio hivyokumbe!!
tulikua tunaongea kuhusu majukumu ya kazi kwanzaHaha yaani tumeshapiga stori ndio unakumbuka kunisalimianimekataa



tulikua tunaongea kuhusu majukumu ya kazi kwanza
haijawahi kukukuta unaingia ofisini mnaanza kuwekana sawa mambo ya kazi kama yalienda vibaya....mkimaliza ndio mnatabasamu na kusalimiana sasa
naomba ukubali salamu yangu tafadhali...
mimi pia nipo salama,Haha wacha tu nikubali, mimi sijambo kabisa wewe je?
Na makucha yakemimi pia nipo salama,
kumekucha eeh...