Haswa. ....
Inapendeza.
Haswa. ....
kwanza embu angalia humu kama tumebaki mimi na wewe tu.Haswa. ....
Muwe na wakati mwema wandugu, niliamka kuzima data!
Hahaha hahaha hahahaBibie kuna kitu umesahau nini ?
Mbona saa hizi teba huku kindoni ?
Umenikurupusha kurupu huko nilikokuwa.
Hahaha hahaha hahaha
Ulikuwa wapi eti... Mekuta quotes asa inabidi niwagongee Like!
Nisamehe kwa kukukurupusha mkuu!Nilikuwa huku nilipo.
Mkuu wa nini ?Nisamehe kwa kukukurupusha mkuu!
Mkuu wa nini ?
Haya majina yenu kuitana tana "mkuu" huwa mnattuotoa kwenye mood wengine.
Huwa sipendi mwanamke au mtoto wa kike aniite "mkuu".







Nafunga lindo sasa.
Nakukabidhi lindo bibie.
Nafunga lindo sasa.
Wazee wa lindo mko poa?
Muda bado.Enyi walinzi amkeni kutoka usingizini