JamiiForums Usiku wa manane
bbade huna wivu niku add kwa list ya mababes wangu?
umejua ni kwa kiasi gani umemvunjia heshima....yani umu add kwenye list ya mababes zako!!!!!!
umeshafeli mapema kabisa chaliifrancisco

wenzako hatusemagi....unaAdd na kuSub mwenyewe kimya kimya, hebu acha bbade wangu huku yupo namba ya peke yake.
 
tulia bwana chalii, najali sana zaidi ya unavyofikilia,
hebu tafuta manzi mwingine wa kumchora..
huyu bbade yupo sehemu salama haitaji mambo ya wenza.
naona wanajitahidi sana kumuwinda...laiti wangejua nawalia timing tu na gobole la kulindia humu wasinge thubutu

habari za wakati? Inna
umejua ni kwa kiasi gani umemvunjia heshima....yani umu add kwenye list ya mababes zako!!!!!!
umeshafeli mapema kabisa chaliifrancisco

wenzako hatusemagi....unaAdd na kuSub mwenyewe kimya kimya, hebu acha bbade wangu huku yupo namba ya peke yake.
usicatch feelings bro akili za usiku tu ilikua.

Navunja sheria kidogo
 
Back
Top Bottom