Looks like you got it, ni kutoka kwenye novel ya Elechi Amadi, The Great Ponds. It's Nigerian.
Haha novel ya Nigerian nimesoma ni ya Chinua achebe pekee,na.siezi try kusoma ingine,si kwa ubaya but we dont like nigerians and anything nigerian ama west african kinda,hata afadhali nisome kitabu ya Mtanzania ama zanzibar
 
Haha novel ya Nigerian nimesoma ni ya Chinua achebe pekee,na.siezi try kusoma ingine,si kwa ubaya but we dont like nigerians and anything nigerian ama west african kinda,hata afadhali nisome kitabu ya Mtanzania ama zanzibar

Hahaha, safi sana.

Mimi Kenyan novel ndiyo sisomagi, hata zile za shule tulikuwa tunatakiwa kusoma za kina Ngugi mimi sikusoma
 
Kuna Nigerian Novels nyingi kwenye syllabus ya Literature tunatakiwa kusoma huku kwetu, few Kenyans as well.

Ndiyo maana unakuta watu wengi wamesoma Nigerians
Eeeh si huku haiezi fanyika ,si tulisoma vitabu setbooks zetu zenye.tulisoma zilikuwa written by kenyans na mbili written by whites but nigerians,waende kwao wajiweke vidole,we cant read anything nigerian,umesoma kidagaa kimemwozea ama the river between?their both kenyan
 
Acha tu,kapoteza kwa mara ya kwanza,,na hk kilikuwa kipimo chake leo,,hakuwa amekutana na timu kubwa kubwa tuone mbinu zake kimchezo zaid ya wale Spars
Yeah ni kweli ....lakini wale jamaa ni team kubwa na wamejipanga muda mrefu.... Tofauti na nyinyi ambao mnapitia Maputo ya kuwa na coacher mpya ...nikisema kuwa ndio mmeanza kujipanga sinto kuwa nakosea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom