Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,742
- 21,870
Unaniuliza tena ? Kwani kila siku nakupelekaga wapi ?
Sijui kwa kweli, maana huwa unaniambia nifumbe macho.
Unaniuliza tena ? Kwani kila siku nakupelekaga wapi ?
Sijui kwa kweli, maana huwa unaniambia nifumbe macho.
Sijui kwa kweli, maana huwa unaniambia nifumbe macho.
Ila harufu si ile ile hata kama unafumba macho ?
Hapana harufu ya miski na udiiiii kwa mbaaali,yale marashiya pwani.Harufu ya Udongo.....
Hapana harufu ya miski na udiiiii kwa mbaaali,yale marashiya pwani.
Man u watajua hawajuiWengi wako kwenye match>>>>>
Poa,twenzetu...Siyawezi hayo mavitu....
Nipeleke shimoni mie
Am.jealousChaliiyangu niaje?
Pogba penye ako,am sure,sai anapigwa makofi na kna rashfordMan u vs Psg

Poa,twenzetu...
Tangulia
Am.jealous
Kama hutaki sema ? Kutangulia ndio biashara gani ?
Nakuja wewe ...endelea.
Usije.