Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,417
Walinzi mupo au mida bado?
┌( ͝° ͜ʖ͡°)=ε/̵͇̿̿/’̿’̿ ̿ roger that▄︻̷̿┻̿═━一
Nshachukua muzberg yangu![]()
Duh mbona mkia mrefu kuliko mwili
ndio mida yetu hiiWalinzi mupo au mida bado?
Unaweza ukakimbia lindo mkuupale unapompiga kanjibai pesa ndefu kwa jero....
.![]()


tena kwa kuringa😀
Usishangilie tu pitisha ofa ya vikombe vya gahawa kwa walinzi wenziopale unapompiga kanjibai pesa ndefu kwa jero....
.![]()

watano yupo sebuleni😛😀


hahaha mkuu hiyo ni changamsha genge,jana chelsea na liver walivofanya du!😕😕Usishangilie tu pitisha ofa ya vikombe vya gahawa kwa walinzi wenzio![]()
Hebu chemsha bongoView attachment 1010032
Hivi au?hahaha mkuu hiyo ni changamsha genge,jana chelsea na liver walivofanya du!😕😕



Huwa unakimbia

haha,,anacheza karata na wa 3.😀
Swali haliulizi yupo wapi bali anafanya nini!
Mimi mwenyewe sijui jibu ila nahisi ndio hilo.
Umecopy kwa mwenziohaha,,anacheza karata na wa 3.😀


