Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Good night !!!
Thanks, na wewe piaGood night !!!
Nilikuwa namtakia usingizi mwema dadangu Simara hapo juu alipoweka emoji za usingizi
Mkuu...lugha kali sana hiyo...Nipo zangu hapa Nairobi Jomo kenyata international airport nazugazuga mida ifike nitombe mawingu.



Acha kunitisha nilikuwa sina mpango wa kusali,kwa lugha nyingi umenikumbusha kusali.Mkuu...lugha kali sana hiyo...
Angalia pipa lisidondoke wakati unafanya hicho ulichokisema![]()
Sali. Waya mmoja tu ukikatika ni all the way down. Usafiri wa haraka na salama lakini wa hovyo sana likitokea la kutokea...Acha kunitisha nilikuwa sina mpango wa kusali,kwa lugha nyingi umenikumbusha kusali.


Nakutakia safari njema mkuu na Hongera sana kwa kupanda ndege. Sisi wengine hiyo bahati sijui tutaipata lini....Tena nakuombea ukae siti jirani na huyuAcha kunitisha nilikuwa sina mpango wa kusali,kwa lugha nyingi umenikumbusha kusali.






Mipango ya mungu mkuu,kufa kupo kokote.Sali. Waya mmoja tu ukikatika ni all the way down. Usafiri wa haraka na salama lakini wa hovyo sana likitokea la kutokea...
Nakutakia safari njema mkuu na Hongera sana kwa kupanda ndege. Sisi wengine hiyo bahati sijui tutaipata lini....
Safiri salama kamanda. Please enjoy your flightMipango ya mungu mkuu,kufa kupo kokote.



Amen.Safiri salama kamanda. Please enjoy your flight![]()
Hahahahaha. !! We can't sleep kirahisi hivi.
I agree! Let's go thenHahahahaha. !! We can't sleep kirahisi hivi.
Tupo wawili tuu??
