Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Kwahiyo naruhusiwa kujisogeza kwake?Nishampa kibuti sikunyingi hatujuani

Kwahiyo naruhusiwa kujisogeza kwake?Nishampa kibuti sikunyingi hatujuani

Pole aisee! Tatizo ni nini?Naumwa![]()
ohooo nmekosea bhana ..hawa ni watani wa jadi


Nimewamiss sanaYeah umekula nn mpk sahv uko macho?
Asante mwaya. Naumwa ule ule ugionjwa wangu wa wivuPole aisee! Tatizo ni nini?

Ukweli mchunguDaah uchochezi ndo staki

Njema tu! Sijui huko ulipoKwema komredi, habari za makao makuu?
Kwahiyo nani Yanga?![]()
Hata kwenye utani wa jadi umekosea, mimi wa juzi tu kama Azam, tena nikivaa unifomu ni fomu 1 kabisa![]()



mapenzi yamem furuga(kwakikwetu voice) najua umeelewaPole aisee! Tatizo ni nini?
Komredi ukiendelea zaidi utapigwa kizinga cha haja, huyu kiumbe ni mzima kama chuma (soma polepole asisikie)Pole aisee! Tatizo ni nini?
Aaah wapUkweli mchungu![]()
Fursa hiyoKwahiyo naruhusiwa kujisogeza kwake?![]()
Komredi ukiendelea zaidi utapigwa kizinga cha haja, huyu kiumbe ni mzima kama chuma (soma polepole asisikie)



watani wa jadiNani huyo kafurugwa na mapenzi?mapenzi yamem furuga(kwakikwetu voice) najua umeelewa



Ruksa bibieKwahiyo naruhusiwa kujisogeza kwake?![]()
Fursa kwake au kwangu?Fursa hiyo
Kwa kweli Mungu ni mwema sana, bado naendelea kuvuta pumzi yake licha ya maovu mengi ninayoyafanya.Njema tu! Sijui huko ulipo
Ruksa bibie