JamiiForums Usiku wa manane
Umewaza nn kuandika haya lakini
1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.
 
KING MONADA MALWEDHE KHELOBEDU TO ENGLISH LYRICS



Makwela Makwela Monada!!!

Nna rena le malwedhe ( I have a sickness)

Geo okhe Jola lenna, ( if you are dating me)

Okhe raloke kago Nhlala

( Don’t play with breaking up with me)

Nna rena le malwedhe ( I have a sickness)

Wa nhlala odho tsosa Malwedhe ale khole

( if you break up with me, you will bring up hidden sickness from far)

Kena Le Bolwedhe bja go idibala

( I have a sickness of collapsing)

Wa nhlala kea idibala

( If you break up with me, i collapse)

Malwedhe aka akamo maratong.

( My sickness is rooted in love relationships or comes from love relationships)

Wa jola Kea idibala. ( if you cheat, I collapse)

Wa njolela Kea idibala.

( if you cheat on me, I collapse)

Lege okha mphe tshelete, kea idibala

( even if you don’t give me money, I collapse)

Ge okha dize, kea idibala

( if you don’t give me money, I collapse)

Dedication kwa MO11 SHIMBA YA BUYENZE lucas mobutu Mwanyasi Nleterewa Nganengo Kichwa Kichafu na yeyote anayedhani ananipenda
Ulipo lala leo usirudie kupalala tena
 
Back
Top Bottom