JamiiForums Usiku wa manane
Kuwa hai ni Baraka kubwa sana Da Vinci ndiyo maana kila siku tunapoamka na kulala lazima tushukuru. Hayo mengine ya kufanikiwa au kutofanikiwa huja baadae. Uhai ndiyo mzizi wa kila jambo....
Najua hilo ila no wangapi wapo hai Na hawana furaha Na uhai wao kutokana Na shida? Kwangu mm nadhani Uhai Na Inner peace ndio kila kitu hapa duniani..
 
Najua hilo ila no wangapi wapo hai Na hawana furaha Na uhai wao kutokana Na shida? Kwangu mm nadhani Uhai Na Inner peace ndio kila kitu hapa duniani..
Kuwa na Amani moyoni ni maamuzi binafsi, haijalishi uko na shida au huna shida. Mtazamo wako juu ya maisha ndiyo huleta furaha na siyo kuwa na mali au kutokuwa nazo. Lakini Uhai siyo maamuzi binafsi bali ni Baraka kutoka kwa YHW ndiyo maana lazima utakuja kujibia uliishije. Haitajalisha ulikuwa na furaha au hukuwa nayo. Uhai kwanza..
 
Back
Top Bottom