capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,369
- 121,267
Prayers should go along with making right choices.
Ahahahah![]()
poleni mkuu... Ebu mmrudishe uyo car7 wenu
Kwa msosi nilio pika leo, acha nioe tu
mara ya kwanza kujipikia sikua mambo ya kuosha mchelemara ya kwanza kujipikia sikua mambo ya kuosha mchele
Niliweka maji jikoni yakachemka nikaweka mafuta then mchele
Niliivisha ugali wenye langi ya pilau
mara ya kwanza kujipikia sikua mambo ya kuosha mchele
Niliweka maji jikoni yakachemka nikaweka mafuta then mchele
Niliivisha ugali wenye langi ya pilau
Zamani walisema maswala ya Jikoni tuwaachie wenyewe, leo yamenikuta Bro.
ni ya kuyaacha kabisa hayoNawasalimia wakuu
Mpaka leo hua sipikiteh teh

MarahAba hujambo ?Nawasalimia wakuu
Asante Kipenzi.....wasalimie huko Uliko.
MarahAba hujambo ?
Mpaka leo hua sipiki![]()
Mpaka leo hua sipiki![]()