Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
huu ni uonevu wa kiwango cha juu, umenihukumu kwa hukumu batili, ulikojipeleka ni kwa kijana wangu wa garden, rudi nyumbani mpenzi wangu

huu ni uonevu wa kiwango cha juu, umenihukumu kwa hukumu batili, ulikojipeleka ni kwa kijana wangu wa garden, rudi nyumbani mpenzi wangu

Mpenzi shaka ondoa nakufuata sasa hivi
Waajiriwa wana mafuba sio ?
Mangi shimboni mbee
Multiplying effect, hata walio jiajiri ndo mida business zinachanganya, wanunuzi wamepata pawa.
Likewise buddyThank you all for accompany me . God bless you & God bless
Pole Yna2,
.. a good care of yourself.
sukuma ndani nimekuwekea (pembeni ya mlango) pmUsinifuate bwana wewe nitumie laki 2 ya nauli nitakuja mwenyewe
Hivi kapotelea wapi jamani?
Usitake kuvunja mkataba, tulishakubaliana kuwa humu ndani tutakula supu ya ulimi wa mamba tu, huyu jogoo tumwache atage akishatotoa mara tatu ndio tumle![]()
![]()
![]()
"Kweli mchoyo hana alama"
Saivi itabidi nikitaka kunywa supu ya jogoo itabidi nitumie tekiniki za C.I.A
Umeanza lini u@Behaviourist ?
![]()
![]()
![]()
Alaah kumbe na yeye anapenda ngua za rangi ya kijivu?


Mmmh! Huo utafiti anaufanyia wapi?Anafanya utafiti kuhusiana na swala letu la ulinzi, kama kuna jinsi tunavyoweza kuboresha kazi yetu kwa ufanisi zaidi.
Tsicha tupu meku, kenjiwi tsapfo mnama.Mangi shimboni mbee
Usitake kuvunja mkataba, tulishakubaliana kuwa humu ndani tutakula supu ya ulimi wa mamba tu, huyu jogoo tumwache atage akishatotoa mara tatu ndio tumle

mnama hapo ndio mwisho wanguTsicha tupu meku, kenjiwi tsapfo mnama.



Naona umeamua kubadilishia gia angani![]()
![]()
![]()
Alaah kumbe na yeye anapenda ngua za rangi ya kijivu?



Wanalindo naomba mnieleweshee huyu kiumbe "tomaso ndio nani?)
Tena nahisi amekuzidi juu ya mahaba ya nguo za rangi ya kijibu