Paa
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 1,462
- 2,938
KaribuWazee wa 5N mpo?
KaribuWazee wa 5N mpo?
wana kazi ya kuangalia matako ya wadada tu wakija kufanya mazoez









Karibu
wamekuwa wazembe sana 💃💃🚓
Hili la juzi nadhani litakua funzo
Nipo nalinda hapa getiniUpande upi upo aisee...
Watu wameshasinzia
thubutuuWatu wameshasinzia
Kuna mzee mmoja akienda gym anakaa kwenye kiti then anaweka miguu kwenye ile mashine ya kukimbia ...anaweka speed ndogo anakua anatembea huku kakaawamekuwa wazembe sana![]()
Watu wameshasinzia
Hahahahaha sijawaona mnajificha sanaSisi sio watu???![]()
duuuuh hii mpyaKuna mzee mmoja akienda gym anakaa kwenye kiti then anaweka miguu kwenye ile mashine ya kukimbia ...anaweka speed ndogo anakua anatembea huku kakaa
Nadhan hao watakua type ya huyo mzee
Nipo nalinda hapa getini
Noah nyeupe, nissan nantoyota haziruhusiwi kupita
Haya bhanaNdo kwanza kumkucha... Naangalia watoto wazuri tu, shabaash
HahahaHahahahha naona umekaa mahali unahesabu tu watoto wazuri
Ndio maana hata vibaka wadogowadogo wanakua tishioduuuuh hii mpya
Ndio wakati wetu huu...tuko shift ya saa naneHahahahaha sijawaona mnajificha sana

... Acha ninywe safari tu
Hahaha
Ukishindwa kula, hata kwa macho ushindwe???
We acha tu ya kwangu leo hadi hasubuiNdio wakati wetu huu...tuko shift ya saa nane
Yakwakk inaisha saa ngapi?