Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,789
- 47,985
Malipo umeamuaje ?Tuanze j3
Malipo umeamuaje ?Tuanze j3
Tutapanga j2 mchana. ..usikoseMalipo umeamuaje ?
Tatizo unarukia mambo yaliyokuzidi acha kaka zako wafaidi.Kuopoa nako kazi,yaani inabidi uache kazi ufanye kazi.....
Natamani ningekuwa mkubwa......
Mimi napenda musics sana sana, mangwear na q chillah walitoaga tape album kipindi kimoja binamu yangu alikuwa mkubwa sana kwangu alikuwa nazo basi nkitaka kusikiliza ananiambia nimfutie viatu vyake na nimsafishie rum yake, nlikuwa nafanya huku nimefungulia radio nasikiliza roho yangu kwatu, aisee utoto raha sanaNgwair alisema...."Usiisogelee meza kama huchangii unachomeza"......hahahahaaaaaa![]()
Afu sjui ulihisi nini kumgusia Ngwair coz kwangu mimi bado ni msanii bora japo hatuko nae ; daily nasikiliza ngoma zake na misemo yake napenda sana kuitumia......Mimi napenda musics sana sana, mangwear na q chillah walitoaga tape album kipindi kimoja binamu yangu alikuwa mkubwa sana kwangu alikuwa nazo basi nkitaka kusikiliza ananiambia nimfutie viatu vyake na nimsafishie rum yake, nlikuwa nafanya huku nimefungulia radio nasikiliza roho yangu kwatu, aisee utoto raha sana
kupatwa kwa nywele