JamiiForums Usiku wa manane
Shukuru hata nimewaquote mara nyingi naona uvivu kufanya hivo naishia kutag tu
Salama tu
Uache uvivu kutu quote watu wawili
Daah,uwezo wangu mdogo aisee,kwa ufupi siwezi kuopoa humu.

Ila daah,kwanini umeniuliza swali hilo bibie ? Badala ya kunijulia hali aisee.

Nimeumia sana.....
uwezo wako mdogo kvp? wewe umekuja cc na moto ujue umepania kuopoa ndo maana nimekuuliza
 
Shukuru hata nimewaquote mara nyingi naona uvivu kufanya hivo naishia kutag tu

uwezo wako mdogo kvp? wewe umekuja cc na moto ujue umepania kuopoa ndo maana nimekuuliza
Kuopoa nako kazi,yaani inabidi uache kazi ufanye kazi.....

Natamani ningekuwa mkubwa......
 
Back
Top Bottom