Astelia
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 1,049
- 3,547
Usingizi niutoe wapi
Nilibadili tu mtandao
vipi uko poa?Usingizi niutoe wapi
Nilibadili tu mtandao
vipi uko poa?Asante majukumu yalibana mno..naamini uko salama pia
Sana tu.wewe je ?vipi uko poa?
Lala mkuu
Nitalala muda si mrefuLala mkuu
Hivi we hua ni me au ke ?Nitalala muda si mrefu
Sababu nimeangAlia profile yako hakuna detail zozote pia hiyo avatar ni ya kikeMkuu kwanini umeniuliza hili swali?
Ohooo...... ni Ke Mkuu.Sababu nimeangAlia profile yako hakuna detail zozote pia hiyo avatar ni ya kike
Ohooo...... ni Ke Mkuu.
avatar hiyo uliipendea nini ? Why ulichagua hiyo ?Naomba dimensions za picha
Ni picha nzuri, sina sababu maalumu ndiyo maana huwa nabidilisha badilisha.avatar hiyo uliipendea nini ? Why ulichagua hiyo ?
Masuala ya kuchat humu halaf kumbe upo uchi n dalili za uchawi na dharau, shenz

unatakiwa uweje mida Kama hi?