JamiiForums Usiku wa manane
Kwa mbali sana, ila nilishaachaga hayo makitu, siku hizi naweza vuta mara moja kwa miezi kadhaa.

Hasa nikiwa nimewaka sana, sana.
pamoja mkuu mzee wangu alikua anavuta kwa siku hata pakti mbili ila alivyokuja kuacha ni aliamua tu sigara basi bila kushauriwa na daktari wala nini now ana miaka 10 toka aache
 
pamoja mkuu mzee wangu alikua anavuta kwa siku hata pakti mbili ila alivyokuja kuacha ni aliamua tu sigara basi bila kushauriwa na daktari wala nini now ana miaka 10 toka aache

Ukiona unaweza kufanya maamuzi ya kuacha kwenye issue za vilevi inakuwa ni safi sana.

Mzee wangu alikuwa anaweza kuja na pakti ya sigara, akavuta moja tu, zingine tunazimaliza sisi na wala haulizi (hapo ni primary).

Yule mdingi sijui alikuwa anatutakia nini dah!
 
Ukiona unaweza kufanya maamuzi ya kuacha kwenye issue za vilevi inakuwa ni safi sana.

Mzee wangu alikuwa anaweza kuja na pakti ya sigara, akavuta moja tu, zingine tunazimaliza sisi na wala haulizi (hapo ni primary).

Yule mdingi sijui alikuwa anatutakia nini dah!
ha ha ha primary ulikua unakula fegi kwa kushea na mzee ila huwenda mzee mapenzi yalizidi kwa wanawe
 
ha ha ha primary ulikua unakula fegi kwa kushea na mzee ila huwenda mzee mapenzi yalizidi kwa wanawe

Yeye alikuwa siyo mvutaji sana, unakuta wakati mwingine akiwa kwenye mishe zake watu wanampa pakti.

Akija nayo home anaweka kwenye droo ya meza, kwa hiyo ikikaa kama siku nne ndo tunaanza kuvuta moja moja, kuna siku mama alitudaka, kumwambia mzee akakausha. Tukajua hiyo ni go ahead. Mama ndo akaanza kuwa anazificha.
 
Hichi kibao kiko wapi wadau wa manane
FB_IMG_15385749414887272.jpeg
 
Back
Top Bottom