Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,658
Shukrani
Ewaa ya kutosha hapo mezani mama
Ewaa ya kutosha hapo mezani mama
Nina zamu ya lindo la ndani sahiv sasa nikikesha humu ndani lindo linavamiwaNipo sana. Pengine huwa tunapishana. Wewe huwa unakimbia geto mapema ndo maana...
Kweli. Hata wewe leo nimekubahatisha !!!Mambo ya weekend hayo
Kweli. Na lindo la ndani ndo muhimu. Lihudumie ipasavyo !!!Nina zamu ya lindo la ndani sahiv sasa nikikesha humu ndani lindo linavamiwa
Black people will see their ex classmate pregnant and say " Eish, this girl was very quiet at school."
Who said pregnancy comes with noise? [emoji848]
Umeona eee sasa wacha nipambane nalo tu hapa ikifika muda naliacha hili lindo lina walinzi wengiKweli. Na lindo la ndani ndo muhimu. Lihudumie ipasavyo !!!
[emoji16][emoji16][emoji16] kweli mwenye visa hakosi sababuWhen a lady wants to leave you for no reason she be like ...."I saw you yawning without closing your mouth. My children can't grow around such a reckless man"
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Hadi mimi nijeNawashukuru sana kwa kufungua geti mapema maana nilikuwa bored! Haya njooni tutete
Nina zamu ya lindo la ndani sahiv sasa nikikesha humu ndani lindo linavamiwa
Mbona nasikuia eti hayo maneno kalishwa, hakuyatamka?[emoji3]Fyeka,fyeeka,fyeeekelea mbali!!!!
Haswaa shoga tunalindana kwa zamu mamaUnaenda kumlinda mwenyemali nini?[emoji23]
Hivi una muda gani hujafika hapa kibaruani? Bora wamefugua mapema nawe umeweza kuja kuripotiKwan aliyeanzisha huu ulinzi alikuwa na lengo hilo la mtu ajifungulie geti, nyie hata kuheshimu kaz ya ulinzi hamuwezi eti eeh, au hadi mshurutishwe, fungeni geti wakuu mda bado tupo kwenye vikao tutarudi baadae
Njoo kama hujachoka mbaya[emoji23]Hadi mimi nije