AhsanteMwifa akija mwambie namsalimia wifi yangu....
hatujapokea pokea barua yake ya kuacha lindo, bado anaimudu ndoa na lindo.
back to the point: kwanini mmetufungulia mapema?
Kwanini umeingia wakati unajua ni mapema?![]()
Hata mimi nilikuta mlango wazi, Joseverest ndiye aliyeacha geti wazi
Kuna haja ya kubadilisha safu ya uongozi, uzembe umezidi sana...nimekuja kuona nani kaingia isije ikawa wezi sasa!
Tayari nishaitikia@Mwifwa njoo uitikie salamu zako
hiHi popoz

kwakweliKuna haja ya kubadilisha safu ya uongozi, uzembe umezidi sana...
sio mida ya protini hii?mida ya wanga
bado muda wa kuwa nao haujafika, na haitatokea watu wote wakawa na wapenzi kwa pamoja, wako kwenye foleni wanasubiria wenzi waoHamlalagi??hamna wapenzi kila siku kukesha huku vepe kuna wengine hadi tushawakalili asbh tunakuta posts zao
Tafuten ma-bae wakuwa-keep mulale
ahsante sana kwa kumjibu huyo na ipo siku na sisi tutakuwa na mabae wa kutukip busybado muda wa kuwa nao haujafika, na haitatokea watu wote wakawa na wapenzi kwa pamoja, wako kwenye foleni wanasubiria wenzi wao
ahsante sana kwa kumjibu huyo na ipo siku na sisi tutakuwa na mabae wa kutukip busy

Aiseebado muda wa kuwa nao haujafika, na haitatokea watu wote wakawa na wapenzi kwa pamoja, wako kwenye foleni wanasubiria wenzi wao
ipo siku hakika, utapakua kila majira kile ukipendachoahsante sana kwa kumjibu huyo na ipo siku na sisi tutakuwa na mabae wa kutukip busy