Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,824
Ndio mkuu zikiwapata hua wanakesha na asubuhi wanaingia job
Mkuu umeona usiwape tabu uweke jina linaloeleweka kabisa
hiyo ni hatari sasaNdio mkuu zikiwapata hua wanakesha na asubuhi wanaingia job
Mnoo jiwe mwenyewe Anaamua aamke saa nane sababu anajua umuhimu wa kulalahiyo ni hatari sasa
tutapunguza stress vipi sijui sasa!!!Mnoo jiwe mwenyewe Anaamua aamke saa nane sababu anajua umuhimu wa kulala
Hawapi mimi ni mgeni kabisaaaaMkuu umeona usiwape tabu uweke jina linaloeleweka kabisa
Hawa watu wapo kila mahali wanatafta wenzao wakuwapotezaSikujua hawa watu tunao humu aisee![]()

Tumewasha mpka chee.02:31
Acha tu ndg yangu,machalii wa R wanasemaga HAIKATAITumewasha mpka chee.
Kama kawa mkuu.![]()
au vipi bro.
Nakupa muda wa siku 2 uwe ushalishughulikia hilo jambo
Kama jinsi ulivyosomeshwa wewe Mh mjumbe...Asante comrade, ingawa inauma sana roho kusomesha Mke na Mme wa mtu in future kwa fedha nyingi....![]()