JamiiForums Usiku wa manane
Huyu Waiter, Kaniweka Tangu Saa Mbili Na Baridi Yote hii, Kapata Mjanja Zaidi Yangu Katoroka Nae, Ngoja Nikalale, Kama Ni Kamari Leo Nimeliwa ‍♂️‍♂️‍♂️
 
Du! JF kiboko.. mida ya wanga bado mnakomaa.
Dedication kwenu kitu CNN ya Mangwea RIP.
 
.
Screenshot_2018-05-27-19-09-53-1-1.jpg
 
Wabongo kweli hawana mambo ya maana kufanya. Yaani humu mnaandika ujinga na upuuzi sababu hamuwezi kulala? Akili ya ndege bundi ni kubwa kuliko nyinyi, at least yeye anafanya kazi ya kukamata panya! Watu makenge kweli kweli. Wajinga oyeee!
 
Wabongo kweli hawana mambo ya maana kufanya. Yaani humu mnaandika ujinga na upuuzi sababu hamuwezi kulala? Akili ya ndege bundi ni kubwa kuliko nyinyi, at least yeye anafanya kazi ya kukamata panya! Watu makenge kweli kweli. Wajinga oyeee!
Umeandka nn sasa hapa
 
Nini tena hiyo? Hii mitandao inawafanya akili zenu zisinyae maana hamzitumii, kazi kucopy and paste kazi za wengine. Bwana swalehe umekula daku tayari au ndiyo magufuli kakaza kamba hata huko?
Asante !
 
Nini tena hiyo? Hii mitandao inawafanya akili zenu zisinyae maana hamzitumii, kazi kucopy and paste kazi za wengine. Bwana swalehe umekula daku tayari au ndiyo magufuli kakaza kamba hata huko?
Na pia Mimi sio muislam
 
Back
Top Bottom