Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,821
ndio nn?Hahaha
Hujui daku kaka!!
ndio nn?Hahaha
Hujui daku kaka!!
Teh teh tehhahaha hayo maombi nitaomba na mm unifundishe kwakweli
yatanifaa sana kweli nakwambiaTeh teh teh
hahahaEpisode 4
Wakati tuna toka kwenye geti la kanisa. Pembeni kulikuwa na bustani ndogo ina maua mazuri na kuna viti baadhi ya watu wamekaa au wamesimama wana piga story. Nikamuona yule sista mrembo, nika muuliza Chris
"una mfahamu yule dada mwenye gauni jekundu?"
Chris Akasema ana mfahamu ila huwa ana muona tuu, lakini ana wafahamu wale kina dada wengine anao zungumza nao. Kabla sija sema lolote, sauti ikatokea kule waliko wale kina dada,
"Chris, we Chris, leo uko na mgeni ndio hutusalimii eeh!?"
Chris akasema hebu twende tukawasalimie wale kina dada, moyoni nililipuka kwa furaha, iliyo changanyikana na woga
View attachment 780953


aisee braza safi kwa story, na hivi vipicha vya hao watt na situation ya rafk yake chriss nacheka sana...Mmmmhu!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Usiniangushe bhana
Mambo ya mfungo hayo hujayajua?
hahahaaisee braza safi kwa story, na hivi vipicha vya hao watt na situation ya rafk yake chriss nacheka sana...
wacha bwana!!Kumekuchaa.......girls night outView attachment 780954
Mambembe huyo eeh!Asante sana...nasubiri![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Braza safi sana kama una enjoy
Ngoja nikuongezeee basi at least mbili
KalaleAsante sana...nasubiri
Tuma picha iliyotulia mambembeKumekuchaa.......girls night outView attachment 780954
wacha bwana!!Mambembe huyo eeh!
hahaha hebu muache bwana,Tuma picha iliyotulia mambembe
Baby mbona hadithi fupi fupi mno?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Braza safi sana kama una enjoy
Ngoja nikuongezeee basi at least mbili
Sawa mkuuhahaha hebu muache bwana,
Nimeiscrenshot kwenye video maksudicallyTuma picha iliyotulia mambembe

Nimeiscrenshot kwenye video maksudically![]()
![]()
![]()
![]()




