Thank you baby, love youAyiiiii! Thank you my love thats why am proud of you!
kuna nn barazani kwako?Njooni tukae barazani kwangu![]()
daku ndio kufanya nn braza?Muda wa daku eeh
Asanteh diaAsante kwa kuwa poa,
Asante kufurahi kuniona na tabasamu,
Karibu ktk ulimwengu wa kutabasamu![]()
mm nipoHelloooz popooz , nani yuko![]()

hahaha karibu, ss siku nyingine nani anakuchungia mzigo wako?Asanteh dia
Leo nimejikaza kuja kuchunga mzigo wangu,
...hadith njoo ukweli njoo utamu koleaNilikuwa nimerudi kutoka chuoni Eldoret, Kenya. Kwa hiyo nikawa nipo likizo nika kutana na rafiki yangu Cris. Jumamosi moja akanipigia simu. Akaniambia kesho twende kanisani kwao wanaibada nzuri. Tukakubaliana kesho yake jumapili nitaenda usiku nika nyoosha nguo zangu vizuri. Nikawahi kulala.
Nilishtuliwa na simu
"Halo"
"Halo bado umelala?"
"Eeh nimelala"
"Amkaa, ni saa mbili kasoro tayari"
Alikuwa ni Cris, Nika amka fasta nika oga, nika vaaa, tukaondoka mpaka kanisani kwa Cris.
HADITHI



sawaJaman naleta hadithi hapa si muda mburudike wale mlo macho
Ila naleta episode mbili au tayu tuu zingine ztaendelea
Huwa nausafirisha kwa maombi tuuhahaha karibu, ss siku nyingine nani anakuchungia mzigo wako?
Hahahadaku ndio kufanya nn braza?
hahaha hayo maombi nitaomba na mm unifundishe kwakweliHuwa nausafirisha kwa maombi tuu
Episode 3
Wakati wa kufunga ibada mchungaji akasema wageni wote tulio fika kusali kwa mara ya kwanza tusimame. Tulisimama, tuka ambiwa tuchukue kila tulicho nacho tuelekee kwenye ukumbi mdogo wa kanisa kwa dakika 5 tuu. Nikataka nikaushe Chris akanilazimisha niende akasema uta enjoy.
Muda ule wageni tunatoka, mchungaji akawa anafunga ibada ila.natoka tuu nikasikie mchungaji anasema
"bwana awe nanyi"
washarika waka itikia "awe nawe pia"
aka waruhusu watawanyike. Moyo wangu ulilia 'paaa' nikasema basi nime kwisha mkosa mrembo.
Tuli ingia ndani ya ukumbi tukatambulishwa kanisa na kukaribishwa. Tulipewa Soda na sambusa ambazo kutokana na mawazo sikula. Tulipo ambiwa tutawanyike nikarudi fasta ndani ya kanisa. Nilimtafuta yule mrembo sikumuona, nika sikima mtu ana nigusa kwa nyuma, nikawa kama nimepigwa shot.
Nikageuka nika kuta ni Chris.
"Ulikuwa una nitafuta ee"
Nikasema "Ndio" huku nikiwa na hasira.
Tuka toka, kuelekea kwenye gari ya Chris tuliyo kuja nayo. Hapo am very mad....
View attachment 780952


