fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,256
- 3,889
Bado tupo mida ya kubet hii
Hahaha kumbe mdau. Mapambano yanaendeleaBado tupo mida ya kubet hii
Kwa kweli mimi mwenyewe kamanda wa kikosi cha anga niliona watu wna niangushaLakini nimefuatilia tokea msimu wa hizi mvua mfululizo zianze, kumekuwa na uungwaji mchache sana wa ushirika hapa jamvini. Inabidi kifanyike kikao cha dharura.
Kwa kweli mimi mwenyewe kamanda wa kikosi cha anga niliona watu wna niangusha
Nikavua magwanda na nilikuwa busy kiaina pia.
Sema ni ngumu kuwapangia watu ratiba kama zimechange
Acha tusubirie hii ligi ya mvua iishe tuone msimu ujao itakuwaje. Watu wamewekeza sana kwenye hili jukwaa. Kufa kizembekizembe haitapendeza.