Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Ndo midaa yaooo hii kumekucha wanatoka yan ni tafrani kakalalalachakalalachakala balaaaaHahaaaa hajakuonesha dawa za kuwapa watulie![]()
Ndo midaa yaooo hii kumekucha wanatoka yan ni tafrani kakalalalachakalalachakala balaaaaHahaaaa hajakuonesha dawa za kuwapa watulie![]()
HahahahWacha tu mods so wa mchezo
Nilikula ya wiki mkuu.
Ndo midaa yaooo hii kumekucha wanatoka yan ni tafrani kakalalalachakalalachakala balaaaa


wanataka nyama haoAnhaaa!Shemeji yangu huyo anajisahau tu
Kwa InnaAnhaaa!
Kwa upande upi?
Huwa wanaenda kutaliii jaman haya mambo sjui kama nitazoeawanataka nyama hao
Mtoto alimkuta baba yke bize na simu smartphon mwenyew katoka kuoga ana kitaulo chake akamuambia:
Mtoto: Baba kulee mchokoziii (kwa kitoto).
Baba akamwambia mwanae
Baba: Haya kamlete nimchampe mwanangu sawa eeeh nenda ukja tu nitamchapa sana(huku bize na smartphone)
Mtoto akaenda nje kumbe kulikuwa na lijoka kubwa linahema lilikuwa linamalizia kumeza jogoo Dogo asivyoelewa akaliburuta mpk sebleni kwa baba yke ili Joka likachapwe bhana wee
Mtoto:Baba hyo chokozi mimi (in baby voice)
Baba: Uwiiiiiiiiii,mama eeeeeeeh mamas zake ww mtoto mganga sio bure njoo mama kibunye huku mwanao eeeeeeeeh mm sio damu yangu hii toa bhana ww mtoto hyu mtu wako.(kapanda juu kochi hoi taulo hajui lilipo.
Motto:Baba ingine hyo apo inakung'ata hapo.
Baba:Toto hili sio damu yangu wallah(akifunga taulo sawa)![]()

Haaa utazoea tu hakuna namnaHuwa wanaenda kutaliii jaman haya mambo sjui kama nitazoea
Haya mambo ya kujifanya unajbu watoto upo bize unakuja kugundua tayari mambo yameharbika aisee





HahahahaHaya mambo ya kujifanya unajbu watoto upo bize unakuja kugundua tayari mambo yameharbika aisee![]()
Halafu wewe maana ipi hiyo tenaAnhaaa
Nikajua kwa maana ingine![]()
Basi sawa
Sanaaa![]()
![]()
![]()
![]()
Nadhani nilielewa vibaya
Jamaa eti amesema si mtoto wake huyo
Jamaa eti amesema si mtoto wake huyo



jamaa anaona toto linamletea mapichapicha uskute jamaa alikuwa anatuma text ya kuomba hela sasa ameambiwa unataka shng ngap?ndio mtoto anaingia na lijoka lazma utupe smartphone tu
