JamiiForums Usiku wa manane
Mtoto alimkuta baba yke bize na simu smartphon mwenyew katoka kuoga ana kitaulo chake akamuambia:

Mtoto: Baba kulee mchokoziii (kwa kitoto).
Baba akamwambia mwanae
Baba: Haya kamlete nimchampe mwanangu sawa eeeh nenda ukja tu nitamchapa sana(huku bize na smartphone)
Mtoto akaenda nje kumbe kulikuwa na lijoka kubwa linahema lilikuwa linamalizia kumeza jogoo Dogo asivyoelewa akaliburuta mpk sebleni kwa baba yke ili Joka likachapwe bhana wee
Mtoto:Baba hyo chokozi mimi (in baby voice)
Baba: Uwiiiiiiiiii,mama eeeeeeeh mamas zake ww mtoto mganga sio bure njoo mama kibunye huku mwanao eeeeeeeeh mm sio damu yangu hii toa bhana ww mtoto hyu mtu wako.(kapanda juu kochi hoi taulo hajui lilipo.
Motto:Baba ingine hyo apo inakung'ata hapo.
Baba:Toto hili sio damu yangu wallah(akifunga taulo sawa)
 
Back
Top Bottom