WashasinziaNane ileeee
Ndio mida yetu popozNane ileeee
Muda wa wakubwa huuWatoto washalala saiz
02:06Alihama KK
Nipo kiongoziKichwa kichafu upo kweli ?
Kama, kawa Kama dawaWazima humu. Mida yetu ya kujidai hii
Washasinzia
Nawaona popooNdio mida yetu popoz
Mko wapi ?Wazima humu. Mida yetu ya kujidai hii
Nipo SafariniMko wapi ?
Itakuwa mpo kweny, maandamano kimya kimyaNimekaa zangu nachat JamiiForums napitia thrads mbalimbali mida ya sa 7 kasoro mara nasikia kitu kinaungua navuta halufu naona mana moshi wa bomu la machozi hivi maana mwanangu ameamka analia yaan poa inauma balaa na machozi yanatoka kabisa
SIJUI NI NINI????
pole mkuuPoleeNimekaa zangu nachat JamiiForums napitia thrads mbalimbali mida ya sa 7 kasoro mara nasikia kitu kinaungua navuta halufu naona mana moshi wa bomu la machozi hivi maana mwanangu ameamka analia yaan poa inauma balaa na machozi yanatoka kabisa
SIJUI NI NINI????
Braza sku hizi una nitenga hukuNipo kiongozi
Mida ya bundi hii naona nimekuwa kuku Si popo blaza Ila, tupo pamoja manBraza sku hizi una nitenga huku
Akikutenga banana nayeeBraza sku hizi una nitenga huku
Upo Makorora?Mko wapi ?