samuel faraj
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 1,326
- 1,266
mwambie aache wivu wa kiboya aiseeNipo kitandan shemej yako anapiga video call kila mudaa Yan acha tu
mwambie aache wivu wa kiboya aiseeNipo kitandan shemej yako anapiga video call kila mudaa Yan acha tu
Aaah ndugu yangu nipo mawindoni sasaKaka hujalala tu
Msemo gani nikumbushe basi maana nina misemo mingiKhaaa! Mnatutisha jaman.
Nimekumbuka ule msemo wako unao apply kwenye kila sehemu
Tukaze had kielewekeAaah ndugu yangu nipo mawindoni sasa




Aache wivu analinda utamu wakeeeeemwambie aache wivu wa kiboya aisee
HahahahaTukaze had kieleweke
Mwaka huu lazima apatikane mmoja wa kuwowa.![]()

Khaaa! Mnatutisha jaman.
Nimekumbuka ule msemo wako unao apply kwenye kila sehemu

Poooh unacheka nn?
mwambie ahesabu maiti vizuri akuacheeNipo kitandan shemej yako anapiga video call kila mudaa Yan acha tu
Mwenyewe bundi piahbundi mwenyewe![]()
HahahhahhhhhHahahaha
Braza umenielewa vibaya
Nawainda wanyama porini![]()
![]()
Kuna mida kapiga video call kanionyesha maiti looh kidogo nitupe simuuumwambie ahesabu maiti vizuri akuachee
eeeh ww sishangai, si umeolewa na mfuga mabundiMwenyewe bundi piah
hahahaKuna mida kapiga video call kanionyesha maiti looh kidogo nitupe simuuu



SijuiPoooh unacheka nn?
Unaogopa mm kuwa mchawi
Nikiwa mchwawi hasala kwa nan?
Kabla ya kutoka na mshana ulikuwa mrembooKuna mida kapiga video call kanionyesha maiti looh kidogo nitupe simuuu

Sasa ntaongezaje mke mnyamaHahahhahhhhh
hao hao mkuu
!eeeh ww sishangai, si umeolewa na mfuga mabundi


wala hujakosea na mapaka piah