Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Sisi hatuachani kabisaHapo je?![]()
Sisi hatuachani kabisaHapo je?![]()
Baby kuna watu et wanangoja nikuache haahah!
Hakika,namuona.Mgonjwa mzima kuliko hata muuguzi
Huoni fujo zake, kila mtaa aingia kufanya vurugu

Jamani jamani jamaniii. Uwiiiiih. Jamani kuna nini huku murembo batoto bazuri banalia huku
Mm tena!!






????????![]()
![]()
![]()
![]()
Braza halafu Ney ntampeleka wap?, kwanza nlikuwa nawaza hata akiona ntajielezaje!.
Kwa hiyo kule ndio kwa bi mkubwa eeh?
Sawa kaka mkubwa silii tenaaa,nanyamaza mmNtakucheki mchana, sipendi ulie bhana

hahahaNi kazi ndogo, mwalimu aanze kugawa ubuyu kila siku, watoro watahudhuria![]()


bora
Kaka ulevi wangu naujua, nikipenda hupitiliza, ni mbaya nikikosea maana ntateseka.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Braza miss natafuta yule yuko vzuri komaa naye hadi ajiite Miss nimepata
Ahsantehahaha pole
Now thats you i knowKama ulivyosema,nimetii maneno yakoo![]()

Mm tena!!![]()
unajifanya huelewi???We shem baba chanja yuko wap?Venye u turn on the engine to mafinga,I am already dead na lile baridi b4 mengine
Ni kazi ndogo, mwalimu aanze kugawa ubuyu kila siku, watoro watahudhuria![]()

adhabu gani hizo tuambizane mapema tafadhali![]()
![]()
Mwanafunzi wa kiume huwa hachapwi viboko, kuna adhabu mbalimbali za kuvutia na nzuri, bakora ni kwa ajili ya watoto wa kike tu komredi
Mgonjwa mzima kuliko hata muuguzi
Huoni fujo zake, kila mtaa aingia kufanya vurugu
Unaelewa vema bembelezo langu, laifu letu ni la ki west.. zaidi, kaka dada kuhug tight na mi kiss juuSawa kaka mkubwa silii tenaaa,nanyamaza mm![]()
Mbona sijaelewa huu mtiririko wenu japo najitahidi kuwafatilia, bwana wewe embu niambie![]()
![]()
![]()
![]()
Braza halafu Ney ntampeleka wap?, kwanza nlikuwa nawaza hata akiona ntajielezaje!.
Kwa hiyo kule ndio kwa bi mkubwa eeh?